Tumeunganishwa katika upendo
Shuhudia jinsi KKKT Digital inavyowaunganisha waumini kupitia teknolojia na imani. Pata mahubiri, matukio, na nyenzo za kiroho mkononi mwako.
Una swali au maoni? Tafadhali jaza fomu hapa chini, na tutaribu kurudisha majibu haraka iwezekanavyo.
Shuhudia jinsi KKKT Digital inavyowaunganisha waumini kupitia teknolojia na imani. Pata mahubiri, matukio, na nyenzo za kiroho mkononi mwako.
Usikose fursa ya kuungana nasi katika matukio mbalimbali ya kiimani na kijamii.
Ibada ya Jumapili
29 Machi, 2026
9:00 - 11:00 asubuhi
Semina ya Vijana
02 Aprili, 2026
2:00 - 5:00 jioni
KONGAMANO LA SABA LA VIJANA KKKT
5–9 Agosti 2026 · Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM)
DHIMA: Kuwaimarisha Vijana kwa Maendeleo ya Kanisa na jamii endelevu
GHARAMA: TSh. 220,000 (Malazi, chakula, uendeshaji)
MWISHO WA KUJISAJILI: 30 Juni 2026
Vijana wote mnakaribishwa! Jisajili mapema ili uhakikishe nafasi yako.