✨ KKKT DIGITAL - KANISA KIGANJANI MWAKO

Kituo cha Kuungana Kidijitali

Karibu KKKT Digital, Kituo chako cha Kuungana na jumuiya ya kiimani popote ulipo. Pata huduma za kiroho, matukio na mafundisho kwa urahisi zaidi.

Washirika Wetu Wanaoaminika

KCMC MAKUMIRA PDPC UNICX AI RADIO INJILI

Jinsi KKKT Digital

Inakusaidia

KKKT Digital ni mfumo rasmi wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) unaolenga kuimarisha ushirika kati ya Kanisa na waumini wake kwa njia ya teknolojia. Kupitia mfumo huu, kila msharika anaweza kupata taarifa muhimu za Kanisa popote alipo kupitia SMS, WhatsApp, Barua Pepe, na majukwaa mengine ya kidijitali.

Kupitia KKKT Digital, waumini hupokea muhtasari wa mahubiri, taarifa za matukio, elimu ya stadi za maisha, na mafunzo mengine kama ujasiriamali, teknolojia, malezi ya vijana, na mambo mengine yanayolenga kukuza huduma na imani ya kikristo.

4+

Watumiaji

24/7

Msaada

100%

Salama
Live

Tumeunganishwa katika upendo

Shuhudia jinsi KKKT Digital inavyowaunganisha waumini kupitia teknolojia na imani. Pata mahubiri, matukio, na nyenzo za kiroho mkononi mwako.

Tazama huduma ya wiki hii
Viwango vya Vifurushi

Bure

Tsh. 0
Muda wote
  • Taarifa na Matangazo Kuhusu Usharika Wako na Kanisa
  • Muhtasari wa Mahubiri ya Siku za Bwana
  • Tahadhari za Kiusalama

Shaba

Tsh. 36,000
Mwaka mmoja
  • Yote ya Bure
  • Simulizi Kuhusu Historia ya Nyimbo na Historia ya Kanisa
  • Ufahamu wa Masuala ya Afya na Mtindo wa Maisha
  • Mafundisho Kuhusu Malezi
Maarufu

Fedha

Tsh. 50,000
Mwaka mmoja
  • Yote ya Shaba
  • Ujasiriamali
  • Mafunzo Kuhusu Ndoa na Mahusiano kwa Kijana Mkristo
  • Ufahamu wa Sheria za Mbalimbali kwa Mkristo
  • Mafunzo ya Awali ya AI, ICT na Biashara Mtandaoni (e-Business)
  • Mafunzo ya Sound Processing

Dhahabu

Tsh. 80,000
Mwaka mmoja
  • Yote ya Fedha
  • Mafunzo ya Juu (Advanced Training) ya AI, ICT, na e-Business
  • Graphics Design na Video Processing
  • Mafunzo ya Utangulizi ya Usalama wa Mtandaoni
  • Sayansi ya Data na Uchanganuzi

Matukio Yajayo

Usikose fursa ya kuungana nasi katika matukio mbalimbali ya kiimani na kijamii.

IBADA

Ibada ya Jumapili

29 Machi, 2026

9:00 - 11:00 asubuhi

SEMINA

Semina ya Vijana

02 Aprili, 2026

2:00 - 5:00 jioni

KONGAMANO

KONGAMANO LA SABA LA VIJANA KKKT

5–9 Agosti 2026 · Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOM)

DHIMA: Kuwaimarisha Vijana kwa Maendeleo ya Kanisa na jamii endelevu

GHARAMA: TSh. 220,000 (Malazi, chakula, uendeshaji)

MWISHO WA KUJISAJILI: 30 Juni 2026

Vijana wote mnakaribishwa! Jisajili mapema ili uhakikishe nafasi yako.

Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara

Je, taarifa zangu binafsi kwenye KKKT Digital ziko salama ?

Je, kuna malipo yoyote ya kutumia KKKT Digital?

Ni kwa namna gani mfumo huu unawezesha mawasiliano ndani ya kanisa?

Nani anastahili kujiunga na kutumia mfumo huu?

Je, ni hatua gani mahususi zitakazochukuliwa ili kuhakikisha kwamba ujumbe unawafikia walengwa husika?

Bado una swali?

Wasiliana Nasi